Saturday, August 9, 2008

WALIDHANI SISI WAZEMBE LAKINI TUKAWAKIMBIZA VILIVYO

Pichani ni John Tafu akikokoto ngoma langoni mwa vijana wa hospitali ya Ligula ambyo baadaye ilizaa goli. Jamaa tumetoka nao sare ya 5- 5 na kama sio watu kuishiwa pumzi tungewalamba mengi sana. Hongereni vijana wa BTS kazeni buti na tuanze mazoezi timu yetu ni nzuri .
Posted by Picasa

0 comments: