Monday, August 11, 2008

SHAGGY APAGAWISHA WATU WIKIENDI

Shaggy akiwapa raha mashabiki katika viwanja vya leaders Kinondoni wakati wa tamasha kubwa lililofadhiliwa na kampuni ya simu za mikononi ya Zain. Jamaa amewamwagia sifa vijana wa THT -Tanzania House of Talents.
Posted by Picasa

0 comments: