Friday, August 8, 2008

KUMBUKUMBU YA KULIPULIWA KWA BALOZI ZA KENYA NA TANZANIA

Jana Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mheshimiwa Mark Green aliwaongoza wafanyakazi pamoja na wahanga kuwakumbuka wale walioptoteza maisha yao wakati wa mlipuko wa mabobu katika ubalozi wa Marekani nchini Tanzania - Dar es salaam. Ni miaka kumi sasa tangu kutokee milipuko hiyo inayotokana na mtandao wa ugaidi.
Posted by Picasa

0 comments: