Friday, November 20, 2009

TAFAKARI YA LEO KATIKA PICHA

Thursday, November 19, 2009

COUNTDOWN TO UCHAGUZI MKUU 2010-16


Mheshimiwa rais, hatudanganyiki tena!


Samson Mwigamba

MHESHIMIWA Rais wa Jamhuri ya wa Wadanyanyika, salaam! Awali ya yote naomba uniwie radhi kwa kutoanza na kile kifupisho cha ‘Dk’ cha kupewa kwa heshima.
Hii ni kwa sababu niliwahi kukichambua huko nyuma na sikuona ‘ustahili’ wake na ndipo nikaweka nadhiri ya kutokukitumia. Nisingependa kuvunja nadhiri hiyo kungali mapema kiasi hiki. Hivyo natumaini utanivumilia.

Mheshimiwa rais, nimepokea ujumbe mfupi wa maandishi katika simu ya mkononi kutoka kwa msomaji wangu. Ujumbe ulikuwa mfupi tu uliokwenda moja kwa moja kwenye lengo.
Kwa kifupi ujumbe (baada ya kuuhariri) ulisema hivi: “Umemsikia JK akijinadi, eti akipewa miaka mitano mingine atajaza vijana kwenye Baraza la Mawaziri! Washtue wadanganyika tuepuke balaa hiyo!”

Mheshimiwa, kwanza nilipata shida kujua kwamba JK ni nani. Lakini baadaye nikajiuliza mbona mara kwa mara vyombo vya habari vikiandika JK huwa vinaandika habari zinazomhusu mheshimiwa? Nikasema labda ni yeye.

Kuna wakati nilipata kumpigia simu msomaji yule, kwa bahati mbaya nikasahau kumuuliza JK ni nani. Lakini, nilimuuliza kapata wapi hizo habari, akaniambia alikuwa akisikiliza dondoo za magazeti asubuhi ya Jumatatu ya wiki hii akasikia habari hiyo.

Kama ni kweli JK ni wewe mheshimiwa, na kama kweli ulisema hayo, naomba nikuambie kwamba safari hii ‘hatudanganyiki’! Na uthabiti wa kauli hii mara moja unajionyesha kwenye kitendo cha kijana yule kusikia tu hiyo habari akanitumia ujumbe mfupi tena akaniambia ujumbe huo aliutuma hata kwa Mwalimu Mkuu wa Watu, yule mwananchi wako mnyonge anayekupenda ambaye kila akiandika hawezi kuanza bila kukuita kwa heshima “rais wangu”.

Mwaka 2005 ulikuja na mbinu, mbinu ya kujitambulisha kama kijana miongoni mwa wagombea 10 waliokuwa wakitafuta fursa mbele ya wadanganyika ya kuingia ‘patakatifu’ pa dunia ya wadanganyika.

Mahali ambapo ukishafika huwezi tena kuulizia bei ya sukari, bei ya nyama, nauli ya mabasi yaendayo mikoani, siku za usafiri wa treni ya reli ya Kati na TAZARA.
Huwezi tena kujua foleni ya barabara za Dar es Salaam wala kushuhudia jinsi Bajaj zilizotengenezwa maalumu kwa ajili ya ndugu zetu walemavu zilivyogeuzwa teksi ndani ya jiji, na kadhalika.

Natambua kwamba miongoni mwenu kulikuwa na vijana zaidi yako ambao wewe ulikuwa hata miaka zaidi ya 10 mkubwa kuliko wao. Lakini, ukatuaminisha wadanganyika kwamba wewe ni kijana.
Kwa kaulimbiu hiyo ambayo wewe na wapambe wako mliitengeneza kwa ustadi vijana wengi hawakuhangaika hata kusoma wasifu wako ikiwa ni pamoja na kuangalia umri wako. Wakajikuta wamekumbwa na kokoro haramu kama yale anayoyapiga vita Magufuli.

Ndani ya kokoro la ‘rais kijana’ hakuna aliyeona uzee wako wala kuishtukia mbinu yako ya kujipatia kura migongoni mwa vijana. Kila aliyekuwa ndani ya kokoro hakuweza kuona nje.
Upeo wao wa kuona uliishia ndani ya kokoro na pale walipojaribu kuangalia upeo uliishia tu kuona ndani ya maji yaliyolizunguka na kulifunika kokoro. Na ilitegemea tu na kijana mwenyewe na macho yake.

Kwa vijana wa vyuo vya elimu ya juu, waliona mikopo ya elimu ya juu ikiboreshwa na rais kijana. Waliona wakimwagiwa mapesa mengi bila masharti magumu hata kama kapata udahili vyuo viwili anapata mikopo miwili. Wakashangilia na ‘kuvaa’ kijani ndani ya kumbi maarufu kama Diamond Jubilee.

Upeo wao uliishia ndani ya kokoro lililotengenezwa na matundu madogo madogo yanayozuia kuchomoka pale utakapoona unakaribia kuvunwa. Baada ya uchaguzi kawaulize vijana wa elimu ya juu leo. Kawaulize watakuambia madaraja ni nini.

Kwa mara ya kwanza chini ya rais kijana wakashangaa wanafunzi wanapewa madaraja ya kukopeshwa kwa asilimia. Kwa mara ya kwanza mitihani isiyo na ulinganifu ya kidato cha sita kikawa ni kigezo cha kupata mkopo.

Kwamba, mwenye uwezo mkubwa darasani kiasi cha kupata daraja la kwanza kwenye mtihani wa kidato cha sita na yule mwenye uwezo wa kifedha wa kuweza kununua mitihani hiyo hiyo na kupata daraja la kwanza ndio watakaokopeshwa.

Kwamba kwa mwanafunzi wa kiume aliyejitahidi kwa uaminifu na kwa uwezo wake wote akapata daraja la pili ama mtoto wa kike aliyefanya hivyo na kupata daraja la tatu, mkopo kwao hakuna.

Kwa wamachinga wa Manzese darajani, wao waliona ajira. Maskini wadanganyika!! Eti mtu ambaye hakusoma wakati hata elimu ya msingi ni shida na kazi yake ni kushinda akipayuka na sauti kukaukia kwa kuita wateja na mwisho wa siku auze nguo moja au asiuze kabisa, yeye akiwa ndani ya kokoro la rais kijana akajipa matumaini kwamba atapewa ajira.

Mgombea mmoja wa chama maarufu cha upinzani alipofika Manzese akawaambia vijana: “Hakuna cha ajira, labda kama huyo rais wenu atawachongea mikokoteni mingi ya kubeba mizigo ndiyo iwe ajira yenu.” Lakini, wapi, ndani ya kokoro hawakusikia kitu. Walimpuuza na kumwona mwendawazimu.

Wasingeweza kumsikiliza wakati walishaona wanavutwa na mvuvi kuelekea kwenye vilindi vya maji marefu ambako wataogelea na kupiga mbizi bila shida. Kumbe hawakujua kwamba kokoro lilikuwa linavutwa kuelekea ufukweni, mahali ambako hakuna maji na hakika watakufa.

Ndicho kilichotokea. Hapakuwa na ajira na hata zile walizokuwa wamejiajiri wakiuza angalau nguo moja ama mbili kwa siku zote zilifagiliwa kwa madai kwamba wanachafua jiji.
Ndiyo! Wapiga kura wenye kuheshimika mwaka 2005 ambao walipata kukaribishwa ndani ya ukumbi mkubwa wa Diamond Jubilee tena kwa heshima na kubebembelezwa, ghafla 2006 wanageuka uchafu unaochafua jiji. Wakaanza kufukuzana na mgambo wa jiji utadhani paka na panya!

Ndani ya kokoro pia kulikuwa na vijana wengi wenye elimu mbalimbali kuanzia kidato cha nne, kidato cha sita, cheti, stashahada na hata shahada, waliohitimu elimu zao na kukaa nyumbani huku wakisaga soli za viatu kila siku kwenda huku na kule kusaka nafasi ya kazi.
Hawa waliposikia ngonjera za rais kijana na nafasi zake za ajira milioni moja, nao wakakurupuka na kuingia ndani ya kokoro. Wakaingia wakiwa na matumaini makubwa. Walitarajia kuajiriwa viwandani, kwenye migodi, kwenye mashirika ya umma, kwenye taasisi za serikali kama Benki Kuu na kwenye serikali yenyewe!

Yarabi! Walijikuta wako nchi kavu. Vilindi vya maji wanaviona kwa mbali sana. Wakiwa nje ya maji wakihema hema na kuvuta pumzi yao ya mwisho wanaona kundi kubwa la ‘samaki’ linaloitwa ‘wanamtandao’ likipiga mbizi kwa furaha ndani ya bahari.

Walikuwa wakiogelea kwenye utajiri wa ‘maji’ tele usio kifani. Ni mkusanyiko wa ‘maji’ mengi ndani ya ‘bahari’ yanayoingia kutokana na ‘mito’ mingi. Waliona mto EPA ukitiririsha maji mengi kwa mbali huku wao wakiwa hawana hata pumzi ya kujivuta kuusogelea mto huo.
Kwa upande mwingine waliona mto Deep Green Finance na ndipo walipogeuka huku na kule waliona mito mingine mingi kama IPTL, Meremeta pamoja na mito mipya ya Richmond, vitambulisho vya taifa na kadhalika. Vyote hivi vilikuwa ni kwa ajili ya wateule wachache 144 elfu wa kutoka makabila 12 ya mtandao.

Vijana, nisikilizeni vizuri. Hatujapata rais kijana wala hatujapata rais anayewajali vijana. Tumekuwa tunapata marais wanaowabeba vijana wakati wa kampeni na kuchota kura zao kisha kuwatupa mitaani wakalelewe kama watoto wa mitaani.

Rais kijana ambaye anawajali vijana angeonekana hata katika chama chake. Ni chama kimoja tu ambacho nimekiona kikiwaweka vijana mbele na kuwapatia madaraka makubwa ndani ya chama na ndani ya taasisi nyeti kama Bunge.

Hicho ndicho chama ambacho hata kama kingesimamisha mzee kugombea urais bado ningekuwa na imani kwamba kitawapa kipaumbele vijana. Ni chama ambacho hata wewe msomaji unakijua.
Natoa wito kwa vijana wote kwamba sasa si wakati wa kudanganyika tena. Tusikubali tena kudanganyika. Kama kweli mkuu katoa kauli hiyo, ni dhahiri keshasoma upepo. Keshaona jinsi vijana tulivyoamka na jinsi tulivyodhamiria kukata mzizi wa fitina mwakani.

Kaangalia uchaguzi wa serikali za mitaa na jinsi ambavyo vijana mliamka ikawalazimu watawala kutumia gharama nyingi sana kufanya hujuma ili washinde kwa lazima. Niliwahi kuwasimulia kisa cha uchaguzi wa Mtaa wa Kijenge ndani ya Manispaa ya Arusha. Uchaguzi ambao vijana waliamua.

Wakajiandikisha kwa wingi na kusimamisha mgombea uenyekiti kijana kupitia ‘chama cha vijana’. Kijana yule akashindana na mwenyekiti mzee aliyekuwapo. Siku ya uchaguzi wakataka kucheza rafu ikashindikana baada ya kura kulingana mara tatu.

Wakataka kumtangaza mgombea wao kwamba kashinda kwa kura moja, vijana wakasimama kidete mpaka Mkurugenzi wa Manispaa akaufuta uchaguzi ule na kutangaza marudio baada ya wiki moja.

Jumapili iliyofuata nikajongea maeneo yale wakati wa jioni wakiwa wanahesabu kura. Askari walijaa na mbwa wa polisi. Lakini yalipokuja kutangazwa matokeo, kijana yule alikuwa ameshinda kwa zaidi ya kura 70.

Ndipo nilipoona vijana wakishangilia na kuinua bendera ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) juu, nikajua kumbe kijana yule ni kutoka chama hicho.
Kwa mara ya kwanza nikashuhudia vijana wa CHADEMA, wakimzuia dereva wa gari la polisi asiwashe gari. Wakalisukuma gari la polisi lililokuwa linaondoka kwa amani baada ya matokeo kutangazwa.

Nilishangaa zaidi niliposhuhudia kwa macho yangu vijana wanasukuma gari na kushangilia wakiwa wameinua bendera za CHADEMA juu huku wakionyesha alama ya vidole viwili, ghafla askari polisi ndani ya gari la polisi nao wakawa wanainua vidole viwili juu kuishangilia.
Naam! Kumbe hata askari wamechoka! Walimu wamechoka, wanajeshi nao wamechoka, maana napokea ujumbe mfupi kutoka kwa wanajeshi wengi mno. Wanafunzi wamechoka, watumishi wa umma wamechoka, madaktari na wauguzi nao wamechoka, wanataaluma nao wamechoka. Kwa nini tusiungane sasa? Tumwambie mkuu ‘hatudanganyiki tena!” Hatuhitaji baraza la mawaziri vijana wa kuendeleza ufisadi. Tutaingia madarakani na kutengeneza baraza letu la mawaziri vijana wa kukimbiza taifa kuelekea kwenye maendeleo.

POOR ALLOCATION OF TANZANIAN FINANCIAL RESOURCES

Parliamentarians and Bunge employees to pocket almost Sh37 billion



The Office of the President and Cabinet Secretariat receives the highest the allocation of funds for staff allowances, and will this financial year alone, gobble up some Sh148.7 billion in payments, a new report says.

The extra earnings by the civil servants in the President's Office have put it at the top of the 10 leading ministries and public agencies, whose employees wallow in the allowance gravy train, according to the report compiled by Policy Forum, a non-governmental organisation.

Allowances allocated to the office, including the State House, went up by Sh15.6 billion in the 2009/2010 budget, a 12 per cent increase over the Sh133.1 billion spent in the year 2008/2009. The amount was Sh133.1 billion in the 2007/2008 budget.

Parliament follows in a distant second position, and will see the MPs and staff of the National Assembly earn a whopping Sh36.8 billion in allowances over the same period. Parliament's vote reflects a 40 per cent increase over the Sh26.3 billion spent the previous year.

According to the report, the Police, under the Ministry of Home Affairs is third place with Sh33.3 billion. Fourth is the Ministry of Education and Vocational Training with Sh32.3 billion.

In fifth place is the National Service, whose staff will allowance payments amounting to Sh29.4 billion this year. This the single largest increase in the allowances by a massive 1,125 per cent. The agency received Sh2 billion and Sh2.4 billion over the past two respective financial years.

Prison services, also under Home affairs, come sixth with Sh16.5 billion, followed by the Accountant-General's office, with Sh16.5 billion.

The Prime Minister, Regional Administration and Local Government are eighth with Sh13.5 billion, while the Ministry of Agriculture, Food Security and Cooperatives and Ministry of Natural Resources and Tourism end the list with Sh12.3 billion and Sh11 billion, respectively.

The ministries of Local government, Tourism and the Prisons Department had their allowances raised by between 57 per cent and 133 per cent.

The Policy Forum programme coordinator, Mr Semkae Kilonzo, told The Citizen yesterday that the report had been released to inform discussions during the planned week-long forum to assess progress in government efforts to fight poverty and enhance growth.

The report was compiled using the government's own budget reports and other official documents. Mr Kilonzo said the document should form the basis of debate on policy by the government, donors and other non-state actors during the Mkukuta review meeting.

The report titled, 'Reforming Allowances: A Win-Win Approach to Improved Service Delivery, Higher Salaries for Civil Servants and Saving Money', analyses the consequences of the allowances culture on public service delivery.

"A good chunk of the allowances goes into meetings, whose importance and priority, have been queried by the public and should provide evidence for insightful discussions," said Mr Rakesh Rajani, of Twaweza, a citizen-centred advocacy programme to development and public accountability that was involved in compiling the report.

According to the report, the government budgeted some Sh506 billion ($390 million) for allowances last fiscal year (2008/9), equivalent to the annual basic salary for 109,000 teachers, or over two thirds of all the teachers. The amount will be Sh571.1 billion this financial year.

The allowances under the President's Office alone are more than the combined budgets of the ministry of East Africa Cooperation (Sh14.4 billion), ministry of Information, Culture and Sports (Sh22.3 bilion), ministry of Labour, Employment and Youth Development (Sh16.9 billion), ministry of Defence and National services (Sh27.6 billion), and ministry of Community Development, Gender and Children (Sh21.5 billion).

Policy Forum warns that despite consolidations in the wage bill in 2002 and last year, allowances this year still equaled 59 per cent of the total amount. Despite the current economic crisis, this year�s allowances were raised by 13 per cent.

The report shows that two thirds of all allowances are spent on four items alone, namely per diems and daily allowances (Sh154 billion), national expenses -to pay for things like parades (Sh109 billion) and ration allowances (Sh60.5 billion). Per diem allowances have rapidly increased to 100 per cent over the two-year period.

The organization argues that allowance rates considered incentives likely to induce and reward behaviour that is counterproductive to the provision of quality services by public servants.

Officers working at the headquarters are said to earn five times more in allowances compared to those toiling in harsh conditions in remote areas.

"By reducing allowances, the government could save money, improve the salaries of public servants and better align staff incentives with the provision of quality products and services,"says Policy Forum.

Foreign trips are rich avenues said to provide government officers with an opportunity to line up their pockets with lucrative allowances that range from Sh403,000 to Sh546,000 a day.

The scramble for such trips is captured by details of a government delegation to the annual meeting of the IMF and World Bank held from last October 2 to 8 in Turkey.

Tanzania sent a 25-member delegation that put to shame the total of 26 delegates representing the rest of the East African Community member states of Kenya (nine), Rwanda (five), Burundi (five) and Uganda (seven).

This one trip alone, assuming a mid-level allowance and travel on discounted business class, likely cost the country more than Sh173 million.

Recently, Prime Minister Mizengo Pinda intervened to curtail the holding of seminars and training meetings he said were unnecessary. His office now approves workshops to be funded by the State and has reportedly saved billions of shillings.

The President, ministers and top bureaucrats have also come under criticism for endless foreign trips and meetings through which hundreds of millions of shillings are paid to them in allowances and per diems.

The Ntukamazina Commission on the harmonisation of public service salaries also recommended the curtailing of workshops and foreign trips to raise at least Sh40 billion for the improvement of public sector salaries.

The report, which has yet to be made public, has elicited protests from workers unions, which have since served the government a 90-day notice to implement the recommendations or face a nationwide strike next January.

Source: The Citizen

THEORIES AND MYSTERIES BEHIND GARANG'S DEATH-1

John Garang the first Vice President of Sudan -South waving to the crowd. This was the last public appearance prior his death/assassination

Garang death need more investigation to all people of Sudan and hand care of our President of Southern Sudan, the SPLM leadership, and all the Sudanese people for the untimely passing away of our late hero and leader, Dr. John Garang. Death being what it is, has robbed us of our dear son and "key holder" of SPLA/M. The sudden death of Dr. John Garang is a loss of immense, not only to the southerners, but also to entirely allies of Sudanese around the globe.

John Garang was a man whose life was dedicate to liberating the marginalized peoples of the Sudan. In addition, his job is total freedom and dignity of the marginalized masses of the Sudanese that was realizes, when he signed the Comprehensive Peace Agreement (CPA) as he knew to die. But he died prematurely, after he delivered the car to its final destination, so, he left the southerners; all the marginalized allies, proud and honorable peoples of South-Sudan with true history of next generations that will be accountable and follows forever!

As for the first time, our right is identify has been recognized, as clearly spilt out in the CPA, by him has done his work and no words of mouth, ever left out of his sensible, before he gone. We all know, even if, Garang is gone, the mission he implemented it will not be destroyed or demolish. On behalf, of our brothers and sisters in the SPLM/A, whose commitments to our cause of freedom, emphasis, will still carry without doubt of hope or doubt of minds. The "Young Sudanese Politicians" need to carry out another investigation of Late John Garang death from beginning John Garang stepped to Khartoum Capital of Sudan in 07/8/05 on Thursday and until he ended up the Peace Agreement with Omar Al-Bashir on Friday 07/09/05. And he was stayed in Khartoum for while, when he ended up "Peace Agreement" on Friday 07/09/05 up to 07/25/05 and back to South-Sudan in 07/25/05 to Rumbek City of South.

From there, Garang spent 4 days in Rumbek between these days of month 07/25/05 and up to 07/28/05. Next day, Friday/29/05 Garang, left Rumbek City for unknown journey toward Uganda on Friday 07/29/05 around evening time. Garang was trip to Uganda to meet with his friend Uganda Yoweri with his only five bodyguards. Nevertheless, there was "no" one of his top rank of SPLA/M on that journey to Uganda to know what was a meeting talk about? However, Garang was recently a sworn, as a first Vice-President of Republic of Sudan in Khartoum for about two weeks and half he spent in the position, before he died. Therefore, we need to know what cause of matters behind the wheel of journey without official of the SPLA/M to join the journey of trip.

So, the Garang death in Ugandans helicopter from "Entebbe International Airport" on his way to South-Sudan, after he met with Uganda's President Yoweri Museveni at his country home in Mbarara, western Uganda in this July 30, 2005. That is unrighteousness to keep silently without repeat in every now and than. On the other level, Saturday 07/30/05 morning at {8 am} in U.S. A. time through the medias report John Garang, who signed a Peace deal within July/09/05 year that end off Africa's longest civil war, died in a helicopter crash, before, even BBC reported, then everyone know that late John was planning death. {All Medias reported that Mr. Garang missing with 13 peoples that including him in one plane} However, there was not quickly response from Khartoum regime and SPLA/M, where, their leader landed down?

However, BBC reported and asked Khartoum Government, where John Garang and Khartoum said we don't know Garang routes where he travel” he was just left to South-Sudan recently about a week from now, it is according to Khartoum reported with no much clues. After 8 hours gone over, BBC reported evening time John Garang, who was signing { the CPA}, killed in helicopter crash Sudan's former rebel leader, who is a Vice-President in Khartoum with crew members, as he boards an Uganda helicopter from an Entebbe International Airport on his way to his home-Sudan. After, he met Uganda's President Yoweri Museveni at his country hometown in Mbarara, Western Uganda in July 29, 2005 Friday. But Heroic Garang, who signed a deal end Africa's longest civil war, died in a helicopter crash in southern Sudan, officials rash in southern Sudan, officials confirmed on August 1, 2005 lately.

As we all know, John Garang who started the Movement of the "SPLA/M" no one knew the routes he traveling, either main enemy or close ally foes in South-Sudan. However, after, the Hero stepped to Khartoum Capital of North Sudan on Thursday 07/08/05 the globally know about him and all enemies knew where Garang heading to in every hours. Garang, since he defected away in a dictatorship regime rule, he never stepped to Khartoum City for more than twenty-two years. After he agreed to signed a Peace Agreement, then all the peoples from Sudan, start from Eastern, Western, Northern and Southern learn where John moving at the time. Besides, that he reached to Khartoum City more than 4 millions of Southerners, Northerners, Westerners and Easterners turning over and supports him for "freedom of right" to ring in every corners of the country. He said to everyone who needs to vote a freedom of right do so, whoever, needs to run for president in Sudan you have right do so…...

When, Garang delivered the speech and said Sudan will not be same again! Therefore, everyone turn around and support the SPA/M Party. Moreover, he said again, who supported Mr. Omar in his leadership? Omar was having high breathing called so- sick at that periods and he tried to work hard in way to eliminate Mr. John Garang, because he knew he would defeat him, if Garang spent more than a month or year, it might be another revolutionaries. Mr. Omar Al-Bashir was rethink about that Garang would take whole Sudan...

Do we recognizes that John Garang death there were "no" people behind a death or behind the wheel of the death? Why, peoples allow him to moved to unknown journey without, even his top Officials in the Government.

Therefore, Garang was hunting for many enemies from days and nights to kill him. Garang, death is blame to all Sudanese and especial the SPLA/M itself.

Tuesday, November 17, 2009

MDAU WA DAMU SALAMA MTWARA AKIWA NORWAY

Mdau Joachim Clemence Mrope wa damu salama kanda ya kusini akiwa katika Jiji la Bergen Norway
Kutoka kushoto ni mdau Mrope , mdau wa damu salama wa kanda ya Magharibi Tabora na mdau mwingine wa damu salama
Picha ya pamoja na wadau wengine. Mrope amesimama mwisho kushoto.


Blogu hii inamtakia kila la heri na maisha mema huko aliko na utakachokipata kizuri ukilete na huku kwetu ili tuweze kujifunza, kukijua na kuleta ufanisi katika kazi.

Monday, November 16, 2009

KILIO CHA MROKI KWA RAIS WAKE.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania akikagua maeneo yaliyoathirika na mvua kubwa kijiji cha Msoga wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani hivi karibuni.
Eneo lililokumbwa na maporomoko la kijiji cha Goha wilayani Same mkoa wa kilimanjaro na kuleta maafa ya watu 25 huku wengine wakiwa hawajulikani walipo na mamia ya wakazi kupoteza mali zao pamoja na makazi.
Wakazi wa kijiji cha Goha wengi wao wa akina mama wakijionea wenyewe jinsi shughuli ya uokoaji inavyoendelea.



Ama kwa hakika ule usemi unasema "Mtu kwao na asiye na Kwao mtumwa" umedhihirika jana wakati Rais Jakaya Kikwete alipofanya ziara ya kukagua Nyumba kadhaa zilizoezuliwa mapaa na kuharibika vibaya katika kijiji cha Msoga Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.

Kitendo hicho, hakika ni cha kizalendo na kinataka moyo wa ujasiri kukifanya hasa katika kipindi hiki ambacho taifa lipo katika msiba mkubwa.

Ndio msiba mkubwa, kwani hujui kile kilicho tokea Jumatano iliyopita katika kitongoji cha Manka, Kijiji cha Goha Kata ya Mwamba Myamba Wilayani Same Mkoani Kilimanjaro.
Unakijua ila tu unataka kuntia ushahidi katika kesi yako.

Roho za watu 25 wanakadiriwa kupoteza maisha katika janga hilo kubwa kuwahi kutokea katika historia ya milima ya upareni na nchini.

Kwa maafa hayo ambayo yamepoteza si tu WAPIGA KURA bali waitikiaji wa wito na kauli mbiu ya taifa ya KILIMO KWANZA ambao ni uti wa mgongo wa taifa hili kutoka kijiji Goha.

Rais nakupongeza sana kwa kutembelea kijijini kwao na huku kwa Anne Kilango Malecela atafika yeye na DC wake Ibrahim Marwa pamoja na Mkuu wao wa Mkoa Monica Mbega.

Ninakubali kuwa hata kuezuliwa mapaa na kuharibika kwa nyumba za 'mbavu za mbwa' napo ni maafa lakini huku kwa wenzetu ni Janga kubwa maana roho za wapiga kura wenu zimetoka.

Watu wale ni juzi tu Mbunge wao aliendesha harambee ya kujenga kiwanda cha Tangawizi katika Kata yao ya Mamba Myamba, lakini sasa wakulima ndo hao wametoweka.

Mimi ni miongoni mwa watu wachache kutoka jijini Dar es Salaam ambao tumepata bahati ya kufika Kijiji cha Goha na kujionea athari hizo za maporomoko ambayo mimi naamini sio mafuriko bali kuna tetemeko dogo la ardhi lilitokea na si vinginevyo, mtaaona ripoti ya wataam wa miamba.

Mimi kwa mtazamo wangu ambao sizani kama wewe unaamini hivyo kuwa Rais Jakaya Kikwete ungeanza kwenda kuwapa pole wana Goha kwanza halafu ukarudi hapo Bagamoyo ingenipa heshima kuwa Rais wetu anatujali kwa dhiki, shida na furaha.

Huo ni mtazamo wangu tu lakini sio ukweli wa jambo lenyewe, na wala sikulazimisi kuamini kuwa JK angeanza kule ingekuwa vyema zaidi.

Lakini sio Rais peke yake hata viongozi wake wengine kama Waziri Mkuu ambaye maafa yanatokea siku kadhaa mbele huyoo anatimkia katika ziaara ya huko Lindi.

Mzee wetu Pinda kwani kulikuwa na tatizo gani kama ungefika Goha uone machozi ya wapiga kura wa Rais na Anne Kilango walivyo teketea? Naimani hata Mungu angeongeza baraka, kwani wewe Idara ya Maafa si ipo kwako?.

Ah! unaguna nini bwana kuwa sina point kwani uongo kuwa Wanagoha ni wapiga kura wa Rais na Mbunge wao Anne Kilango, Pinda wewe utaomba kura Same yanini wakati unazako huko Ruvuma.

Makamu wa Rais nawe si vibaya ukaliona hili maana wenzako wote wamezungunga muashoki na kuwaacha wapiga kura na watekelezaji wa Kilimo kwanza wameshika tama.

Jakaya sasa ni wakati muafaka kwenda Goha kuwapa pole wanakijiji maana familia nyingi zimekufa zote, na kuwapa moyo kuwa kesho ipo utarekebisha kosa la jana.

Na Huko Dodoma pia maafa yametokea yafaa twende tukawape pole sio Msoga tu nilipo zaliwa.



Nalia na wewe hadi kieleweke!


KWA HISANI YA MROKI MROKI/FATHER KIDEVU

Saturday, November 14, 2009

THE FOUR WIVES STORY


Read this story thoroughly and think about it


Once upon a time there was a rich King who had four wives.
He loved the 4th wife the most and adored her with rich robes and treated her to the finest of delicacies. He gave her nothing but the best.

He also loved the 3rd wife very much and was always showing her off to neighboring kingdoms. However, he feared that one day she would leave him for another.

He also loved his 2nd wife. She was his confidant and was always kind, considerate and patient with him. Whenever the King faced a problem, he could confide in her, and she would help him get through the difficult times.

The King's 1st wife was a very loyal partner and had made great
contributions in maintaining his wealth and kingdom. However, he did not love the first wife. Although she loved him deeply, he hardly took notice of her!!

One day, the King fell ill and he knew his time was short. He thought of his luxurious life and wondered, I now have four wives with me, but when I die, I'll be all alone."

Thus, he asked the 4th wife, "I loved you the most, endowed you with the finest clothing and showered great care over you. Now that I'm dying, will you follow me and keep me a company?"
"No way!” replied the 4th wife and she walked away without another word. Her answer cut like a sharp knife right into his heart.

The sad King then asked the 3rd wife, "I loved you all my life. Now that I’m dying, will you follow me and keep me a company?"
"No!” replied the 3rd wife. "Life is too good! When you die, I'm going to remarry!" His heart sank and turned cold.

He then asked the 2nd wife, "I have always turned to you for help and you've always been there for me. When I die, will you follow me and have your company?"
"I'm sorry, I can't help you out this time!” replied the 2nd wife. "At the very most, I can only walk with you to your grave."
Her answer struck him like a bolt of lightning, and the King was devastated.

Then a voice called out: "I'll go with you. I'll follow you no matter where you go." The King looked up, and there was his first wife. She was very skinny as she suffered from malnutrition and neglect. Greatly grieved, the King said, "I should have taken much better care of you when I had the chance!! "

In truth, we all have the 4 wives in our lives: Our 4th wife is our body. No matter how much time and effort we lavish in making it look good, it will live us when we die.

Our 3rd wife is our possessions, status and wealth. When we die, it will all go to others. Our 2nd wife is our family and friends. No matter how much they have been there for us, the furthest they can stay by us is up to the grave.

And our 1st wife is our Soul. Often neglected in pursuit of wealth, power and pleasures of the world. However, our Soul is the only thing that will follow us wherever we go. Cultivate, strengthen and cherish it now, for it is the only part of us that will follow us to the throne of God and continue with us throughout Eternity.

Thought for the day: Remember, when the world pushes you to your knees, you're in the perfect position to pray. Pass this on to someone you care about, I just did. Being happy doesn't mean everything's perfect. It means you've decided to see beyond the imperfections.